Meli ya FMS Eagle yenye usajili wa Tanzania yakamatwa El Salvador ikiwa na tani 6.6 za dawa za kulevya. Watu 10 kutoka Colombia, Nicaragua, Panama na Ecuador wakamatwa wakitarajiwa kufikishwa mahakamani.Haijaelezwa dawa hizo zilikuwa zikitoka wapi na kuelekea wapi.
Chanzo; Dw