Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Zaidi ya Watoto Mia Wameuawa Tangu Kusitishwa kwa Mapigano Gaza

Zaidi ya watoto 100 wameuawa katika Ukanda wa Gaza tangu kusitishwa kwa mapigano mwezi Oktoba, taarifa hii ni kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la watoto (UNICEF).Shirika hilo linaripoti kuwa wavulana 60 na wasichana 40 walio chini ya umri wa miaka 18 wamefariki dunia. Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza, inayosimamiwa na wapiganaji wa Hamas, imethibitisha takwimu hizo na mashirika ya Umoja wa Mataifa mara kwa mara yameeleza kuwa takwimu za wizara hiyo ni za kuaminika.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: