Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Daktari Amtelekeza Mgonjwa Kisa Kufanya Mapenzi

Dkt. Suhail Anjum alikiri kumwacha mgonjwa akiwa na ganzi wakati wa upasuaji ili kufanya mapenzi na muuguzi katika chumba kingine katika Hospitali ya Tameside mnamo Septemba 2023.


Ingawa hakuna madhara yaliyompata mgonjwa, Dkt. Anjum alikubali kuwa kitendo chake kilikuwa kina kumuweka mgonjwa hatarini na alisema kuwa ni “aibu kubwa.”

 

Chanzo: Bbc Swahili

Kuhusiana na mada hii: