Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Darfur Hapakaliki 70 Wauawa kwa Droni

Zaidi ya watu 70 wameuawa katika shambulizi la Droni linalodaiwa kufanywa na wanamgambo wa RSF kwenye Msikiti mmoja huko al-Fashir, mji mkuu wa jimbo la Darfur Kaskazini siku ya Ijumaa.

 

Shambulizi hilo limetokea wakati vita hivyo vya wenyewe kwa wenyewe vikiingia mwaka wa tatu kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wa RSF. Umoja wa Mataifa umedokeza kwamba ukatili unazidi kuongezeka katika mzozo huo siku baada ya siku.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: