Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Serikali ya Uganda Yashutumiwa kwa Ukandazamija Dhidi ya Wapinzani

Shirika la kimataifa la haki za binaadamu la Amnesty International limesema hii leoJumatatu (05.01.2026) kwamba vikosi vya usalama vya Uganda vimekuwa vikiwatesa na kuwakamata kiholela wapinzani kwa lengo la kuwatisha, kabla ya uchaguzi utakaofanyika Januari 15.

Shirika hilo limekusanya vithibitisho vya maafisa wa usalama kuwapiga na kutumia gesi ya kutoa machozi dhidi ya wafuasi wa chama cha upinzani cha National Unity Platform, NUP kinachoongozwa na Bobi Wine. 

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: