Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Askari wa Marekani Aliyekamatwa Tanzania Ubalozi Wasema Kumekuzwa Kupita Kiasi na Serikali

Akizungumza na The Citizen Tanzania, Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andy Lentz amesema mchakato wa kuweka wazi tukio la kukamatwa kwa raia wa Marekani kwenye Vyombo vya Habari ni “jambo la kusikitisha” na “lisilofaa.”

Amesema tukio hilo limekuzwa kupita kiasi na baadhi ya viongozi wa Serikali, akisisitiza umuhimu wa kuheshimu faragha ya raia wa Marekani.

Jeshi la Polisi lilisema kuwa mabomu hayo ni silaha ambazo hata kama Mtuhumiwa angeomba kibali, asingeruhusiwa kuingia nazo nchini kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.

 

 

Chanzo; Jamii Forums

Kuhusiana na mada hii: