Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Vifo Vyaongezeka Iran Yafikia 3,428

Idadi ya vifo kufuatia maandamano yanayoendelea kuitikisa Iran imeongezeka na kufikia watu 3,428, hayo ikiwa ni kulingana na shirika la haki za binadamu la Iran.

 Maandamano hayo yamezusha pia hali ya wasiwasi baada ya Marekani kutishia kuingilia kati na Iran ikionya kuwa italipiza kisasi. Marekani imeanza kuwaondoa wanajeshi wake katika kambi zilizopo Mashariki ya Kati, huku Uingereza ikitangaza kuufunga kwa muda Ubalozi wake mjini Tehran.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: