Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Urusi Itamjibu Haraka Anayetaka Ushindani wa Kijeshi

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema yeyote anayetaka kushindana na Urusi kijeshi "awe huru kujaribu", akisisitiza kuwa taifa hilo ambalo liliivamia kijeshi Ukraine litalinda maslahi ya watu wake na uwepo wa dola hilo.

“Ikiwa kuna mtu anataka kushindana nasi kijeshi basi anaweza kujaribu, Urusi imeendelea kulinda uwepo na uhalisia wake, tutajibu haraka.” - Putin

Ameonya kuwa mara kadhaa Urusi inapokabiliwa na kitisho majibu yake huwa makali.
Wachambuzi wa siasa za Ulaya wameitafsiri kauli hiyo kama onya kwa mataifa ya Magharibi yanayoiunga mkono Ukraine.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: