Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mbu wa Malaria Waanza Kung’ata Mchana

Utafiti mpya uliofanywa na Taasisi ya Kitaifa ya Utafiti wa Tiba Kenya (KEMRI) kwa ushirikiano na wanasayansi wa kimataifa umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yamesababisha kubadilika kwa tabia za mbu aina ya Anopheles Funestus, wanaoeneza ugonjwa wa malaria.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, mbu hawa sasa wameanza kung’ata mchana kinyume na desturi yao ya kung’ata usiku, na pia wanaonesha ukinzani mkubwa dhidi ya dawa zinazotumika kuwadhibiti.

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: