Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Watu 130 Wafariki kwa Kupigwa na Radi

Jumla ya watu 130 nchini Rwanda walifariki dunia kutokana na kupigwa na radi kati ya mwezi wa kwanza wa mwaka jana wa 2025 na mwezi wa kwanza mwaka huu wa 2026. Takwimu hizi zinajumuisha vifo vya watu wengine 9 waliofariki dunia katika jimbo la mashariki mwa Rwanda wiki hii baada ya kupigwa na radi wakiwa njiani kutoka shambani.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: