Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Watu Zaidi ya 80 Wauawa Gaza, Maelfu Waondoka Jijini

Mamlaka za Gaza zimesema watu wasiopungua 85 wameuawa katika Ukanda wa Gaza katika kipindi cha saa 24 zilizopita. Aidha Israel imeendeleza operesheni yake ya kijeshi katika jiji la Gaza huku maelfu ya Wapalestina wakiendelea kuondoka katika jiji hilo.

 

Mashambulizi hayo yamepelekea kukatika kwa umeme na mawasiliano ya simu na intaneti. Hayo yakiarifiwa, Marekani kwa mara nyingine tena imetumia kura yake ya turufu hapo jana Alhamisi kuzuia kupitishwa kwa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililotaka kusitishwa kwa mapigano huko Gaza, kuwezesha ufikiaji wa misaada ya kibinadamu na kuachiliwa kwa mateka.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: