Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Tatizo la Afrika Viongozi Ving’ang’anizi, Museveni

Mnamo mwaka 1986, Rais Yoweri Museveni alisema bara la Afrika linashindwa kujikwamua kutoka kwenye umasikini kutokana na viongozi kung’ang’ania madarakani.

Hivi sasa Museveni amedumu katika wadhifa wa Rais kwa takribani miaka 40 na anawania muhula wake wa saba.

Utawala wake umekuwa ukishutumiwa kwa rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa mali za umma.

Katika uchaguzi huu, Museveni anasema ni muhimu kwa Waganda kumchagua ili kulinda mafanikio yaliyopatikana, huku mpinzani wake mkuu Bobi Wine akiwahimiza wananchi kuunga mkono mabadiliko ya kimfumo.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: