Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Trump Amuonyesha Mtu Kidole cha Kati Akijibu Kejeli Kiwandani

Kipande cha video kinachoonyesha Rais wa Marekani Donald Trump akionekana akionesha alama ya kidole cha kati, kitendo kinachotafsiriwa kama matusi, kwa mfanyakazi wa kiwanda cha magari cha Ford.

Kwa mujibu wa video hiyo, mfanyakazi huyo alimpigia Trump kelele akimtuhumu kuwa “mlinzi wa wabakaji wa watoto,” kauli iliyosababisha tukio hilo.
Baada ya kusambaa kwa video hiyo mitandaoni, mjadala mkubwa umeibuka kuhusu mwenendo wa rais.



Ikulu ya Marekani (White House) imetetea kitendo cha Trump, ikisema hatua hiyo ilikuwa “sahihi kulingana na mazingira,” kauli ambayo imezidi kuchochea mijadala kuhusu mipaka ya maadili na namna viongozi wakuu wanavyopaswa kujibu ukosoaji kutoka kwa raia.

 

 

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: