Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Iran, Shambulio Lolote ni Vita Kamili Dhidi Yetu

Afisa mmoja wa Iran amesema jana kwamba nchi hiyo italichukulia shambulizi lolote kwenye ardhi yake kuwa vita kamili dhidi ya jamhuri hiyo ya kiislamu.

Ametoa onyo hilo katika wakati msafara mkubwa unaojumuisha manuari ya kijeshi na meli za kivita za Marekani unaelekea eneo la Mashariki ya Kati.

 Afisa huyo aliyezungumza kwa sharti la kutotajwa jina, amesema wanatumai kwamba matayarisho hayo ya kijeshi hayakusudiwi kutumika kuishambulia Iran na kutahadharisha kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kwa hali yoyote ile na litajibu kwa mapigo makali mashambulizi yoyote ya kigeni.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: