Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Madaktari Wafanikiwa Kuunganisha Uume Uliokatwa

"Tulifanya uamuzi wa kufanya upasuaji kwa sababu tuliamini kwamba uume bado unaweza kuunganishwa tena, kulingana na muda uliopita tangu kukatwa,"

Madaktari katika hospitali ya Alert huko Addis Ababa wamefanikiwa kurudisha uume uliokatwa wa kijana mmoja baada ya upasuaji wa saa saba.

Madaktari wanasema mgonjwa, anapata nafuu na wanatarajia aanze kukojoa kawaida ndani ya wiki tatu, lakini kufanya mapenzi inaweza kuchukua takriban miezi mitatu.

 

 

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: