Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wakulima Wavamia Bunge, Wamwaga Viazi Tani 30

Wakulima nchini Ufaransa wameandamana kwa njia ya kushangaza kwa kumwaga takribani tani 30 za viazi nje ya jengo la Bunge la Taifa, wakipinga mkataba wa biashara huria unaopendekezwa kati ya Umoja wa Ulaya (EU) na MERCOSUR.


Waandamanaji wanasema makubaliano hayo yanahatarisha wakulima wa Ulaya kwa kufungua soko kwa bidhaa za kilimo kutoka Amerika Kusini, ambazo wanadai hazifuati viwango sawa vya uzalishaji.

 

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: