Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Trump Amsifu Al-Sharaa “Ni Kiongozi Shupavu”

Rais Donald Trump wa Marekani amekutana na Rais wa mpito wa Syria Ahmad al-Sharaa na kumsifu kuwa kiongozi "shupavu".

Marekani iliwahi wakati mmoja kumworodhesha Al-Sharaa kuwa "Gaidi Maalum wa Kimataifa" wakimtuhumu kuwa na mafungamano na makundi ya kigaidi.

Trump amekiri kwamba maisha ya zamani ya Sharaa --aliyekuwa akisakwa kwa udi na uvumba na Marekani -- yalikuwa yenye utata, lakini wakati huo huo alimsifia kama "kiongozi shupavu" na akaelezea imani aliyonayo kwake:

Sharaa alikiambia kituo cha televisheni cha Fox News kwamba uhusiano wake na kundi la wanamgambo lilikuwa jambo la zamani na halikujadiliwa kwenye mazungumzo yake na Trump.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: