Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mkosoaji wa Serikali wa Tanzania Aokolewa Kenya

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International lisema mwanaharakati wa Kitanzania, Mshabaha Hamza, alitekwa nchini Kenya lakini akaokolewa kabla ya kurejeshwa kwa nguvu Tanzania.

Hamza, aliyekuwa uhamishoni kwa miaka minne na mkosoaji mkubwa wa vurugu za Oktoba 29, alitupwa Lukenya akiwa amepoteza fahamu baada ya kupambana na watekaji.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: