Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mkaguzi wa Hesabu Kenya Akiri Kuiba Bilioni 1

Raia wa Kenya, Tobias Otieno (41) anakabiliwa na kifungo cha kati ya miaka minne hadi 12 jela nchini Marekani, baada ya kukiri kuiba zaidi ya dola 400,000 [TZS bilioni 1] za fedha za walipa kodi alipokuwa akifanya kazi kama mkaguzi wa hesabu wa serikali katika jimbo la New York.

Otieno amekiri kutenda kosa hilo kati ya mwaka 2022 na 2024, ambapo alihamisha fedha kutoka akaunti za manispaa kwenda kwenye akaunti binafsi za biashara alizokuwa akizidhibiti.

 

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: