Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Waathiriwa wa Bomu 1998 Kenya, Wanyimwa Fidia

Mahakama Kuu nchini Kenya imetupilia mbali ombi la kutaka kulipwa kwa wahanga wa mlipuko wa bomu wa mwaka 1998 uliotokea jijini Nairobi, ikiamua kuwa waombaji walishindwa kuthibitisha kuwa serikali ilipuuza wajibu wake wa kuzuia shambulio hilo.

Katika hukumu iliyotolewa leo Jumatano, Jaji Lawrence Mugambi aliamua kwamba ombi hilo, lililowasilishwa mwaka 2021, halina umuhimu na halikuthibitisha uwajibikaji kwa upande wa serikali.

 

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: