Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Shambulio la Israel Laua Wanafunzi Iran

Takriban watu 40, wakiwemo wanafunzi, wameuawa na wengine 48 kujeruhiwa baada ya mashambulizi ya Israel kulenga shule ya msingi ya wasichana katika mji wa Minab katika mkoa wa Hormozgan kusini mwa Iran, vyombo vya habari vya Iran viliripoti.

 

 

Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: