Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Serikali ya Marekani Yasimama Siku 36 Rekodi Yawekwa Kisa Mgogoro Bajeti

Serikali ya Marekani sasa imesimama kwa siku 36 mfululizo, na kufanya kuwa muda mrefu zaidi katika historia.

Baadhi ya malipo ya ustawi wa jamii, ikiwemo misaada ya chakula kwa familia zenye kipato cha chini, yamesitishwa.

Kusimama huku kwa shughuli za serikali kumewaacha zaidi ya wafanyakazi milioni moja bila mishahara.

Mgogoro wa Bajeti Waisimamisha Serikali ya Marekani kwa Rekodi Mpya yatinga siku 37

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: