Mataifa 85 wanachama wa Umoja wa Mataifa na mashirika kadhaa ya kimataifa yamelaani vikali mipango ya hivi karibu ya Israel kujitanuwa ndani ya Ukingo wa Magharibi.
Kupitia tamko lao la pamoja, wakosoaji hao wamesema uamuzi huo wa upande mmoja unakusudia kuimarisha uwepo haramu wa Israel ndani ya mamlaka ya Palestina.
Chanzo; Dw