Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Marekani Yajiondoa Mashirika na Taasisi 66 za Kimataifa

Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza rasmi kujiondoa katika mashirika na taasisi 66 za kimataifa, ikieleza kuwa taasisi hizo hazina tija kwa maslahi ya taifa hilo wakati ambao wanaendelea kufanya tathmini ya mashirika mengine ya kimataifa.

Uamuzi huo, unatekelezwa kufuatia sera ya Marekani Kwanza (America First), ikihusisha mashirika 35 yasiyo chini ya Umoja wa Mataifa pamoja na mashirika 31 yaliyo chini ya Umoja wa Mataifa.

 

 

Chanzo; Crown Media

Kuhusiana na mada hii: