Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mtandao wa Intaneti Wazimwa Uganda

Mamlaka ya mawasiliano ya Uganda yameagiza kusitishwa kwa huduma za intaneti ya umma kote nchini kabla ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo unaotarajiwa kufanyika wiki hii Januari 15.


Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC) inasema hatua hiyo inalenga kulinda usalama wa taifa na uadilifu wa zoezi la upigaji kura.


Hata hivyo, wakosoaji wanasema uamuzi huo unadhoofisha uwazi na unakinzana na ahadi za awali zilizotolewa na serikali.

 

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: