Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Trump Apokea Medali ya Amani Kutoka Venezuela

Rais wa Marekani Donald Trump amepokea medali ya Tuzo ya Amani ya Nobel kutoka kwa kiongozi wa upinzani wa Venezuela, María Corina Machado, kama ishara ya kutambua mchango wake katika juhudi za kudai uhuru na demokrasia nchini Venezuela.

Hata hivyo, Trump si mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, kwani medali hiyo ni ya Machado binafsi. Hatua hiyo imeibua mjadala, ikizingatiwa kuwa maono ya Tuzo ya Amani ya Nobel yanasisitiza misingi ya amani, mazungumzo na kutokutumia nguvu.

 

 

 

 

Chanzo; Cnn

 

 

 

Kuhusiana na mada hii: