Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Nigeria Yapinga Vikali Madai Ya Marekani Kutesa Wakristo

Serikali ya Nigeria imepinga vikali vitisho vya kijeshi vilivyotolewa na Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu madai ya mateso dhidi ya Wakristo nchini humo. Msemaji wa Rais Bola Tinubu, Daniel Bwala, amesema Marekani haiwezi kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Nigeria bila makubaliano ya pamoja.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: