Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wabunge Waaza Kupitia Nyaraka za Epstein

Wabunge wa Marekani jana walianza kupitia nyaraka zisizofichwa za Jeffrey Epstein, na kuonyesha wasiwasi baada ya kubaini kuwa baadhi ya majina yameeondolewa katika toleo lililotolewa kwa umma.

Sheria mpya ya uwazi wa nyaraka za Epstein EFTA iliyopitishwa kwa wingi na Bunge, ilitaka wizara ya Sheria kutoa kila hati waliyonayo kuhusu Epstein—bila kuondoa chochote kinachoweza kumlinda mtu kutokana na aibu, madhara ya sifa, au sababu za kisiasa.

Hata hivyo, sheria hiyo iliruhusu kufichwa kwa majina ya zaidi ya waathiriwa 1,000 wa Epstein ili kulinda utambulisho wao.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: