Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Madagasca Waandamana Tena Baada ya Baraza Kuvunjwa

Maelfu ya waandamanaji wameandamana tena nchini Madagascar, huku polisi wakitumia mabomu ya machozi na risasi za mpira, licha ya Rais Andry Rajoelina kuvunja serikali yake kwa lengo la kutuliza machafuko ya siku kadhaa yaliyosababisha vifo vya watu 22 kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: