Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mkataba wa Nuklia Marekani na Urusi Watamatika

Mkataba wa New START kati ya Marekani na Urusi, unaoweka kikomo kwa idadi ya vichwa vya nyuklia pande zote mbili zinapaswa kumiliki, unafikia mwisho wake leo Alhamisi.

Hali hiyo inaziacha Washington na Moscow bila vikwazo juu ya silaha zao za nyuklia na pia inauacha ulimwengu bila mkataba wowote wa kuzuia vita vya nyuklia.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amezihimiza Marekani na Urusi kusaini haraka mkataba mpya wa nyuklia, akisema mud awa mkataba wa New START unamalizika katika "wakati mbaya kwa amani na usalama wa kimataifa."

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: