Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Israel Dhidi ya Rafah “Tutaifungua Ikiwa Tutapata Mabaki ya Mateka Wetu”

Israel imetangaza kuwa itaruhusu kufunguliwa kwa sehemu kivuko cha Rafah kati ya Misri na Ukanda wa Gaza, mara tu itakapopata mabaki ya mateka wake wa mwisho anayeaminika kuzikwa Gaza.

Kivuko hicho ni lango muhimu la misaada ya kibinadamu na kilipaswa kufunguliwa chini ya makubaliano ya kusitisha vita ya Oktoba, lakini kimemefungwa licha ya shinikizo la kimataifa.

Marekani imeongeza shinikizo katika siku za karibuni, na Israel imesema uamuzi huo utatekelezwa baada ya wanajeshi wake kukamilisha oparesheni ya kutafuta mwili wa mateka pekee aliesalia Gaza.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: