Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mili 6 Yatambuliwa Ajali ya Helkopta Kenya

Jumamosi huko Mosop katika eneo la Nandi Hills ilitokea ajali iliyobabisha vifo vya watu sita akiwemo Mbunge wa Emurua Dikirr, Johana Ng’eno, zoezi la kutambua miili ya waliofariki limekamilika na miili hiyo kusafirishwa kwa ndege hadi Nairobi kwa matayarisho ya mazishi.

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: