Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Shambulizi la Pakistan Lazuiwa Afghanistan

Serikali ya Afghanistan imesema imefanikiwa kuzuia jaribio la mashambulizi ya anga dhidi ya Kituo cha kijeshi cha Bagram, kilichokuwa cha Marekani kaskazini mwa mji mkuu Kabul. Mapigano hayo yanatajwa kuwa makali zaidi katika miaka ya hivi karibuni, huku Pakistan ikitangaza kuwa iko katika “vita vya wazi” na Afghanistan ambayo ni jirani yake.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: