Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Yammi Akanusha Kugombana na Nandy

Malkia wa kiwanda cha Bongoflava, Yammi amekanusha stori za kugombana na boss wake wa zamani ambaye ni CEO wa African Princess, Nandy. Yammi ameyasema hayo ikiwa ni baada ya kukutana na waandishi wa habari siku ya Jumatano Juni 4 kutangaza ujio mpya wa ngoma mpya.

Yammi ambaye kwa sasa yuko chini ya menejimenti mpya amesisitiza kumalizana kwa amani na Nandy huku akimshukuru boss wake huyo wa zamani kumfikisha hapo alipo kwa sasa kimuziki.


Kuhusiana na mada hii: