Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Burna Boy, Kidjo Waongoza Kutajwa Zaidi Grammy

Kwa miaka mingi, wasanii wa Kiafrika wameonekana mara kwa mara kwenye jukwaa la Grammy, wakivunja rekodi na kuliweka bara mbele na kulitambulisha zaidi katika muziki wa kimataifa.

Kuanzia Burna Boy hadi Angélique Kidjo, kwa miaka ya hivi karibuni hawa ndio wakali wa Afrika walio orodheshwa mara nyingi zaidi kwa wasanii kutoka Afrika kwenye tuzo za Grammy.

Ladysmith black mamabazo - 17
Angelique Kidjo - 16
Burna Boy - 13
Miriam Makeba - 9
Tems - 8
Youssou N'dour - 7
Soweto Gospel Group - 6 wizkid - 6
Trvor Rabin - 6
Femi Kuti - 6

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: