Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Shilole Apata Ajali Mbaya, Agonga Ng’ombe

Msanii na mjasiriamali Zuwena Yusuphu Mohammed, Shilole, amepata ajali mbaya ya gari usiku wa kuamkia leo eneo la Malagarasi mkoani Kigoma alipokuwa safarini kutoka Kigoma kwenye mwaliko wa sherehe za mwaka mpya aliopewa na Mbunge wa Kigoma mjini.

Taarifa za ajali zimethibitishwa na Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe. Cleyton Chipando, Baba Levo, ambaye ameandika "JANA USIKU DADA YANGU SHILOLE ALIPOKUWA ANATOKA KIGOMA KURUDI DODOMA ALIPATA AJALI YA GARI AINA YA ALPHAD BAADA YA KUGONGA NG'OMBE MAENEO YA MARAGALASI ..!! TUNAFATILIA AFYA YAKE KWA UKARIBU KWA SASA ANAENDELA KUPATA MATIBABU TABORA"

 

Chanzo; Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: