Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Black Sherif Asikitishwa Wasanii wa Ghana Kutotajwa Grammy

Mwanamuziki wa Ghana Black Sherif, maarufu Blacko, ametia uzito kuhusu kukosekana kwa wasanii wa Ghana katika uteuzi wa Tuzo za Grammy 2026, akieleza kuwa tasnia ya muziki ya haifahamu fahari ya kujumuishwa katika tuzo hizo.

Black Sherif anaamini kwamba kuna vipengele muhimu vya mchakato wa Tuzo za Grammy ambavyo wasanii wa muziki wa Ghana bado hawajavielewa.

Afrika yote wasanii wa nchi tatu pekee ndiyo ambao wameorodheshwa katika kuwania tuzo za grammy katika Kipengele cha Best African Music Performance

Nigeria

-Burna Boy - love
-Davido ft omahlay - With you
-Ayra Star ft Wizkid - Gimme dat

Uganda
Eddy Kenzo ft Mehran matin - Hope and Love

South Africa
Tyla - Push 2 Start

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: