Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Malkia Karen Aitamani Surgery Kutengeneza Shepu

Ni kati ya wasanii walioupata umaarufu tangu wakiwa watoto, akiwa ameanza kuimba akiwa na umri mdogo ambapo sura yake imezoeleka kwa watu wengi sana. Hata ivyo Malkia Karen anasema fedha zikimtembelea kitu cha kwanza atakachofanya ni kufanya upasuaji wa kujenga shepu.

Malkia Karen ameyasema hayo wakati akizungumza katika kipindi cha The Switch cha Wasafi FM. Tembelea YouTube ya Wasafi Media kutazama mahojiano yote.

 

 

Kuhusiana na mada hii: