Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Chid Benzi “Hakuna Kitu Najutia” Licha ya Yote

Licha kudumbukia kwenye dimbwi ambalo limemeza wengi walioweza kutoka na walioshindwa kutoka, Msanii Chid Benz akiwa anaelekea kutimiza miaka 40 akiri kutojutia aliyoyapitia angali bado yuko hai na uraiani.

Huku akitolea mfano majina makubwa yakiyotikisa kiwanda muziki Duniani na msoto wanaopitia kushinda hata yeye licha ya watu hao kua na pesa nyingi kumzidi.

“Hakuna kitu najuta mimi naishi maisha nagundua kuwa mimi sio kama Puff Daddy, yuko jela mimi niko njee, kuna L Kelly majina makubwa wao wako ndani.” 

Chid Benzi, kwenye mahojiano na Millard Ayo alifunguka. Zaidi, anasema ni moja ya wasanii walioanza kushika pesa wakiwa na umri mdogo huku akiendelea kukazia kuwa hakumbuki ni vipi aliingia kwenye madawa.

Chanzo: Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: