Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Jux Akutana na Mtoto Wake kwa Mara ya Kwanza

Msanii wa Bongo Fleva, Jux amekutana na mtoto wake Rakeem kwa mara ya kwanza.

Jux amechapisha baadhi ya video akimpokea mkewe Priscy na mtoto wao Rakeem ambaye alizaliwa Agosti 24, 2025, nchini Canada.

Tangu Priscilla ajifungue huko nchini Canada, Jux hakubahatika kumuona mtoto wake ana kwa ana. Sambamba na hayo Jux aliandaa surprise kibao kwa mkewe na mtoto baada ya kuwasili nyumbani.

Zaidi, mpaka sasa wawili hao hawajaiweka wazi sura ya mtoto wao tangu azaliwe.

 

Chanzo: Mwananchi Scoop

Kuhusiana na mada hii: