Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

RECAP: Ibraah amejibu mapigo kutangaza Uongozi, amefungua lebo mpya

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amempongeza lbraah kwa kutangaza

Uongozi wake mpya kwa sasa.

Anasema baada ya kutangaza Uongozi pia ametambulisha

GANG yake ya OYAAH GANG, amemshauri kuwa asijekujaribu kufungua lebo.

Anasema wasanii wengi Tanzania wanahisi kufungua lebo na kuitwa CEO ni sifa kumbe ni kujimaliza kimuziki, kama Ibraah anataka kupotea kabisa basi anye aige kufungua lebo.

Uchambuzi mzima upo katika akaunti yetu ta YouTube ya Bongofive.

 

 

 

 

 

 

 

 

Kuhusiana na mada hii: