Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Diamond Kwenye Album ya Afcon

Mwanamuziki Nasib Abdul, Maarufu Diamond Platnumz, ameendelea kuthibitisha ubora wake kimataifa baada ya kutangazwa rasmi kuwa sehemu ya albamu ya wimbo wa mashindano ya AFCON 2025, yanayoendelea kufanyika Morocco.

Albamu hiyo yenye nyimbo 12 imewakutanisha wasanii wakubwa wa kimataifa na barani Afrika akiwemo Ne-Yo, Davido, French Montana, Ayra Starr, Rema, Jason Derulo, Shenseea, Saad Lamjarred, Akon, Yemi Alade, Patoranking, Innos’B, na wengine wengi.

 

Chanzo; Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: