Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Polisi Kufanya Uchunguzi Kifo cha Mc Pilipil

Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma, kupitia kwa Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Gallus Hyera, amesema linaendelea kufanya uchunguzi kuhusu chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mshereheshaji na Mchekeshaji Emmanuel Mathias, MC Pilipili, baada ya kuwepo kwa taarifa zenye utata juu ya mwili wake ikielezwa kuwa umekutwa na majeraha.

Akizungumza na Jambo Tv kwa njia ya simu leo Novemba 17, 2025, Amesema bado uchunguzi unaendelea kutokana na kifo hicho kuhusisha masuala ya jinai.

MC Pilipili alifariki dunia Novemba 16, 2025 jijini Dodoma baada ya kuzidiwa na kisha kupelekwa hospitalini ambako alifika akiwa ameshafariki.

 

Chanzo; Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: