Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Chadwick Boseman Kutunukiwa Nyota ya Heshima

Muigizaji Wa ‘Black Panter' Marehemu Chadwick Boseman kutunukiwa nyota kwenye Hollywood Walk of Fame, Novemba 20 mwaka huu. Taarifa hii imethibitisha na mandao wa Variety leo. Chadwick Boseman Alifariki Dunia Agosti 2020 Akiwa Na Umri Wa Miaka 43 Kufuatia Maradhi Ya Saratani yaliyokuwa yakimkabili. Chadwick alifahamika zaidi kutokana na uchezaji wake kama ‘King T’chala’ katika filamu ya Black Panther Lakini Pia baada ya kujiunga na kampuni ya Marvel Cinematic Universe mwaka 2016 na kushiriki katika filamu za Captain America; Civil War, Avengers Infinity War na nyingine nyingi. 

 

Chanzo; Wasafi

 

 

Kuhusiana na mada hii: