Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wakili wa P Diddy Akanusha Mteja Wake Kukutwa na Pombe Gerezani

Wakili wa Sean “Diddy” Combs amesisitiza kwamba habari zinazoenea kuwa alikamatwa akinywa pombe ya nyumbani akiwa gerezani ni kwa ujumla si za kweli

Katika tamko alilotoa kupitia Ukurasa wake wa X zamani (Twitter)alieleza “Hakuna sheria iliyovunywa na Bwana Combs.Ukomovu na Nidhamu yake ni kipaumbele,na yeye anazichukua kwa Umakini “

“Habari zimekuwa zikienea Baadhi ni za Uwongo na Hatari Tunaomba umma navyombo cha Habari wampe Heshima na Wamuache ajili sis he na Ukuaji wake Binafsi “ aliandika hayo wakili wa Sean “Diddy “Combs.

Msemaji wa Sean “Diddy” Combs Akanusha Taarifa za Kukamatwa kwa Kunywa Pombe Gerezani

 

Chanzo; bongo 5

Kuhusiana na mada hii: