Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Davido Atumia Zaidi ya Bilioni 4.9 Kununua Rolls Royce Mbili za 2025

Muimbaji Wa Nigeria Davido, Ameripotiwa kununua Gari 2 Za Kifahari Aina Ya ‘Rolls Royce Cullinan Mansory Edition 2025’.

Davido amedaiwa Kutumia Zaidi Ya Tsh. Bilioni 2.46/= Kwenye Kila Gari. Inadaiwa kuwa Amenunua Gari Hizo kama zawadi ya birthday yake November 23. 

 

Chanzo; Wasafi

Kuhusiana na mada hii: