Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Billnas Aonyesha Hasara Aliyoipata Duka Lilivyochomwa Oktoba 29

Baada ya ukimya wa muda mrefu kufuatia kilichotokea katika ghasia siku za Uchaguzi Mkuu, kuchomewa duka lake la Nenga Tronix, msanii BillNass ame-share video ya sehemu ya hasara ambayo amepata.

Kupitia Whatsapp Status, BillNass ame-share clip inayoonyesha baadhi ya Simu, Laptop, na pesa ambazo zilifanikiwa kuokolewa baada ya kuchomwa moto kwa duka hilo, kwa maneno machache akionyesha ishara ya shukrani kwa Mungu wake kufuatia jaribu hilo kwa kuweka emoji za 🙏🏾🙏🏾

BillNass alifunga ukurasa wake wa Instagram mara tu baada ya kupatwa na changamoto hiyo!

 

Chanzo; Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: