Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

RECAP: Kuna Mashabiki wa Muziki hawapendi Live – El Mando

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumzia mjadala ulioanzishwa na wadau wa burudani mitandaoni kuwa Msanii asiyejua kuimba Live sio msanii mkali.

Kupitia kwenye kipindi chake kasema sio kweli msanii alisipojua kufanya Live sio msanii mkali, ametolea mfano wasanii wakubwa duniani ambao asilimia kubwa hawafanyi Show za Live.

Anasema Ubora na ukali wa msanii haupimwi kwa kujua kuimba LIVE, unaweza kuimba Live lakini usiwe msanii mkali.

Kwa upande wako unasemaje, Unakubali kuwa msanii asiyejua kufanya Live sio msanii mkali??

Uchambuzi mzima Upo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

Kuhusiana na mada hii: