Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Davido Kuwachinja Wasanii Grammy

Kutoka Nigeria msanii Davido  amechaguliwa kuwa sehemu ya wadau wa Grammy Awards watakao wapigia kura wasanii ili waweze kushiriki kwenye vipengele mbalimbali vinavyowafaa.

Davido kwenye moja video clip mara baada ya kuthibitishwa kuwa sehemu ya mchakato amesema”  Kuelewa umuhimu wa sauti zetu zinavyosikilizwa na kushiriki katika mchakato wa Tuzo za Grammy ni mabadiliko makubwa.”

Pamoja na kuamini ni mabadiliko makubwa katika muziki Afrika aliongezea kwa kusema “Nimejifunza jinsi kupiga kura kunavyokuwezesha kuwa na sauti katika kile kinachozingatiwa na kupigiwa kura kila msimu wa tuzo.” - Davido

Chanzo: Tanzania journal

Kuhusiana na mada hii: