Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Phina Kupiga Nimekuchagua Wewe ya Kizazi Kipya, Bob Ludala Yule

Ikiwa imepita Zaidi ya miaka 20 tangu wimbo ambao haushi radha vizazi na vizazi wa ‘Nimekuchagua wewe’ kutoka kwa Bob Rudala na sasa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Phina ameamua kuurudia tena wimbo huo huku akiwa na mpenzi wake kutoka Nigeria, Eni.

Phina ameshare kionjo cha wimbo huo kupitia ukurasa wake wa instagram wimbo ambao unatarajiwa kutoka rasmi Jumapili hii, Novemba 16.

Mbali na wimbo huo Phina, akiwa pamoja na mpenzi wake Enioluwa, wamerikodi nyimbo mbalimbali ikiwemo “Mungu Ibariki Tanzania” na “Smile For Me” ya Simi.

 

Chanzo; Mwananchi Scoop

Kuhusiana na mada hii: